Hizi ndio sentensi 24 alizoandika RAY C kuhusu Jackie Cliff anaedaiwa kukamatwa na dawa za kulevya


Ni siku kadhaa zimepita toka taarifa itoke kwenye mitandao kadhaa ya nchini China kuhusu binti wa kitanzania mwenye umri wa miaka 28 akamatwe na dawa za kulevya zenye thamani ya zaidi ya dola za Kimarekani laki moja huko Macao China ambapo vyombo kadhaa vya Tanzania vimeripoti kwamba binti huyo anadaiwa kuwa Jackie Cliff ambae amewahi kuonekana kwenye video kadhaa za wasanii wa Kitanzania.
Kifuatacho ni kilichoandikwa na RayC, mwimbaji wa Kitanzania ambae katika stori zake kubwa za maisha ni pamoja na kuingia kwenye utumiaji wa dawa za kulevya uliompoteza kabisa kwenye muziki na ramani ya maisha mpaka kufilisika.
1
2Kwa stori zote za bongo na nje ya bongo, siasa, breaking news, muziki, michezo, movies, vichekesho, maisha na mengine ungana na mtu wako wa nguvu Millard Ayo na uwe unazipokea taarifa kiganjani mwako mara tu baada ya kuzipata, ungana na mimi kwenye facebook, twitter na instagram kwa jina hilohilo la Millard Ayo, ukishajiunga niambie hata kwa kucomment mtu wangu..

Comments

Popular posts from this blog

IT Essentials (ITE v6.0) Chapter 4 Exam Answers 100% 2016

IT Essentials (ITE v6.0) Chapter 3 Exam Answers 100% 2016

IT Essentials (ITE v6.0) Chapter 2 Exam Answers 100% 2016