Tundaman Adaiwa Kudanganya Kuwa Alikuwepo Kwenye Gari Lililopata Ajali na Kumuua Rafiki yake....

Najaribu kufikiria nje ya box Kama ni kweli huu uongo wa ajali ya Tundaman kwa faida ya nani?
Kwenye mitandao kunaenea habari kuwa Mwimbaji Tunda Man hakuwa kwenye gari lililopata ajali juzi wakati wakutoka kwenye show ambapo ajali hiyo ilipoteza maisha ya rafiki wa karibu wa Tundaman.....Inasemekana Tunda Man alikuwa kwenye gari ya Noah ambayo ilikuwa imeongozana na Gari iliyopata ajali lakini baada ya ajali Tunda akajifanya na yeye alikuwepo ndani ya gari hiyo...

Soma hapa kinachoendelea mitandaoni:

Comments

Popular posts from this blog

Idriss Sultan Una Uhakika Gani Kama Mimba ya Wema Sepetu ni Yako?

Nitajuaje ama Mke au Mume Wangu Anatoka Nje ya Ndoa? Mambo Gani Yanaweza Yakaonyesha?

Hizi Hapa Faida za Kunywa Maziwa Mgando/Mtindi Katika Mwili wa Binadamu