Mama Kanumba Akanusha Taarifa Kuwa Huwa Anatokewa na Marehemu Kanumba Ndotoni Usiku

Mama Kanumba Amekanusha Uvumi ulionea kwenye mitandao hasa Instagram kuwa huwa anatokewa na Marehemu Kanumba ndotoni...

Mama Kanumba Amesema Haya:

"Mimi sijawahi mwambia mtu kuhusu kumuota Kanumba na wala sijawahi muota wala kunitokea ndotoni, Mimi ni mkristo na nina Amini mtoto wangu alifariki na kristo hivyo hayo mambo mimi sijajui na napenda kusema kuwa sijawahi tokewa na Kanumba huo ni uzushi tu"

Comments

Popular posts from this blog

Idriss Sultan Una Uhakika Gani Kama Mimba ya Wema Sepetu ni Yako?

Nitajuaje ama Mke au Mume Wangu Anatoka Nje ya Ndoa? Mambo Gani Yanaweza Yakaonyesha?

IT Essentials (ITE v6.0) Chapter 3 Exam Answers 100% 2016