Abdul Kiba Atolea Ufafanuzi Kuhusu Kujiunga na WCB Wasafi


Staa wa Bongo Fleva, Abdul Kiba  ametolea ufafanuzi kuhusu taarifa iliyosambaa mitandaoni kujiunga na WCB WASAFI ambayo inamilikiwa na Diamond Platnumz.

Akiaongea na cloudsfm.com Abdul Kiba ambae ni mdogowake na msanii Abdul Kiba alieleza.

‘’Ni kweli nilizungumza hiyo lakini wengi wao waliitafsiri vibaya kauli yangu kwasababu ukizungumzia mtonyo nilimaanisha kwamba nina uwezo wa kufanya nao kazi aidha ikitokea labda ‘featuring’ au kuna shoo naweza nikashirikiana nao kwa sababu ni mkataba utatakiwa upite hapo then pesa imwagike nifanye nao kazi ila siku maanisha kwamba nina uwezo wa kuhama ‘lebo’ kutoka hapa nilipo kwenda kwao, nadhani wengi wao waliipokea kauli yangu vibaya’

Comments

Popular posts from this blog

IT Essentials (ITE v6.0) Chapter 2 Exam Answers 100% 2016

IT Essentials (ITE v6.0) Chapter 3 Exam Answers 100% 2016

IT Essentials (ITE v6.0) Final Exam Answers