Amber Lulu Afunguka Kupiga Picha za Utupu

Akiongea kwenye FNL ya EATV, Amber Lulu amesema yeye ni model hivyo picha hizo huwa zinakuwa za kazi ambazo huwa yupo assigned, ambayo pia ndio inayomlipa.

"Mimi ni model unajua, sasa kama model kuna picha kama zile napiga, zinakuwa na kazi, na sio napiga tu, ukiona nimepiga vile jua kuna kazi ambayo ipo na mtaijua", alisema Amber Lulu.

Mwanadada huyo ambaye kwa sasa amejizolea umaarufu kwenye mitandao ya kijamii, amesema kwa sasa hayupo kwenye mahusiano kutokana na ugumu anaoupata unaotokana na kazi yake hiyo, hivyo huamua kuwa mwenyewe ili kuepuka usumbufu utakaojitokeza.

Comments

Popular posts from this blog

Idriss Sultan Una Uhakika Gani Kama Mimba ya Wema Sepetu ni Yako?

Nitajuaje ama Mke au Mume Wangu Anatoka Nje ya Ndoa? Mambo Gani Yanaweza Yakaonyesha?

Hizi Hapa Faida za Kunywa Maziwa Mgando/Mtindi Katika Mwili wa Binadamu