Baby Madaha: Sina Hobi na Serengeti Boys Kama Shilole na Wolper

MSANII na mcheza filamu za Kibongo, Baby Madaha amesema hapendi kushiriki mapenzi na wanaume wa umri mdogo ‘Serengeti Boys’ kwani watu hao hawawezi kumshauri mambo ya maendeleo.

Baby alitoa kauli hiyo baada ya kutakiwa kutoa maoni yake juu ya kuongezeka kwa idadi ya wanawake wanaojihusisha kimapenzi na Serengeti Boys.

“Serengeti boys siyo hobi yangu kwa kweli maana watanizingua tu, nawapenda watu wazima maana wananipa akili za kimaendeleo, hao watoto hawawezi kunisaidi chochote cha maana nawashangaa hata hao wanaokuwa nao,” alisema Baby Madaha.

Comments

Popular posts from this blog

Idriss Sultan Una Uhakika Gani Kama Mimba ya Wema Sepetu ni Yako?

Nitajuaje ama Mke au Mume Wangu Anatoka Nje ya Ndoa? Mambo Gani Yanaweza Yakaonyesha?

Hizi Hapa Faida za Kunywa Maziwa Mgando/Mtindi Katika Mwili wa Binadamu