Mbunge wa Kawe, Halima Mdee Ataja Rapper wa Kibongo Anayemkubali zaidi Bongo

Mbunge wa Kawe, Halima Mdee amesema Rapper wa kibongo anayemkubali zaidi ni Roma Mkatoliki kwasababu anaimba hali halisi, anatumia sanaa kuburudisha na kuelimisha kwa wakati mmoja.

Je, wewe ni rapper gani wa bongo unamkubali?

Comments

Popular posts from this blog

Idriss Sultan Una Uhakika Gani Kama Mimba ya Wema Sepetu ni Yako?

Nitajuaje ama Mke au Mume Wangu Anatoka Nje ya Ndoa? Mambo Gani Yanaweza Yakaonyesha?

Hizi Hapa Faida za Kunywa Maziwa Mgando/Mtindi Katika Mwili wa Binadamu