Nipo ‘Single’, Akitokea Kijana Mwenye Malengo Nipo Tayari – Johari


Msanii mkongwe wa filamu, Johari Blandina Chagula amesema kwa sasa hayupo wenye mauhusiano ya mapenzi na mtu yoyote ila akijitokeza kijana mwenye sifa yupo tayari.
Johari

Muigizaji huo ambaye ni Mama wa mtoto mmoja, amekiambia kipindi cha Enewz cha East Africa Television Ijumaa hii, kuwa yupo tayari kuingia kwenye mahusiano kama atatokea mtu sahihi.

“Mimi kwa sasa nipo mwenyewe (Single) akitokea kijana mwenye malengo na mwenye dhamira ya kweli nipo tayari kuwa naye,” alisema Johari.

3 comments:

  1. Wenye dhamira wapo lakn wanawaogopa bongo mavi...maana hamfugiki...
    Reply
  2. nani aoe apo
    presha nani anataka?
    Reply
  3. Dooooh. ...sasa hii ni kuwa na uchu wa mahusiano au? Kwani lazima kifanya matangazo? Ndio maana mnaambiwa mnajiuza mitandaoni.
    Reply

Comments

Popular posts from this blog

IT Essentials (ITE v6.0) Chapter 4 Exam Answers 100% 2016

IT Essentials (ITE v6.0) Chapter 3 Exam Answers 100% 2016

IT Essentials (ITE v6.0) Chapter 2 Exam Answers 100% 2016