IDRIS Sultan Amjibu Mange Kimambi Baada ye Kumshauri Wema Atafute Manager wa Bank Mwenye Pesa Kuliko Vijana wa Laki Laki


IDRIS Sultan Amjibu Mange Kimambi Baada ya Mange Kumshauri Wema Atafute Manager wa Bank Mwenye Pesa Kuliko Hawa Vijana wa Laki Laki

Ameandika Haya Hapa Chini:


Post a Comment

  1. IDRIS YAMEMFIKA HAPA!
    KOMESHAAAAAAAAAAAAAAAAAA MWANA WANE.
    NACHUKIA SANA MWANAMKE MWENYE USHAURI WA KUTAFUTA WANAUME WENYE PESA.
    Reply
    Replies
    1. yeaaap maana amezidi kuingia ya watu yake yanamshinda. wewe mambo ya Wema na Idris yanakuhsu nini Mange. Nahuyo mtoto ndio she needs to learn how to be independent not to depend with man. Jamani hate wanaume sikuhizi hawataki kuwa na wanawaka maloser maana leo yupo kesho amekufa ghafila unawatoto utatanyaje? unataendakutafuta bwana alee watoto wako. Idris you pretty much right hata hao wakina Bill Gate alianzi kwenye Garage zao and the work hard.
  2. Idd kweli ulifumaniwa na lulu chumbani?
    Reply
  3. Don't buy love sometime you can buy ukimwi
    Reply
    Replies
    1. Thank you mdau, na hicho huyu motto ndio anacho tafuta.
  4. Idris! Achana nae angalia background
    Reply
  5. hahahahahahahahahaha......MTOTO IDD KAZUA BALAAAAA.......Ila ki ukweli Idris ww ni sikio la mwenye kufa halisikii dawa yaani kama Nuhu mziwanda vile.Afadhari nuhu yeye ndo alipendwa na alikua analelewa ila ww hukupendwa bali zilipendwa pesa zako za big brother. Kijana handsome kama ww kwa nini usitafute msichana mwenye wazazi na mwenye hofu ya mungu ukafanya nae maisha ukapewa heshima ya baba........hii aibu yote inakukuta hv hujawafedhehesha wazazi wako pia?????ASIYESIKIA LA MGUU, HUVUNJIKA GUU siku zote.........
    Reply
  6. Kumbe Iddris kijana wa laki laki??!!! hahhahhaha
    Reply
  7. Leo idris umeongea kama mature,huyo kimavi badala kumshauri biashara huyo wema yeye anamwambia atafute ma manager,yeye kimavi na master yake lakini bado nyanda states,tena achana nae ni kunguru huyo kimavi.
    Reply
  8. na huyu mtoto asipo angalia atakuja kutafuta mwanaume hata wa habari yako asimpate. Mungu si athumani what if Idris anakuja kuwa tajiri wema na Mange ataweka wapi sura yake?
    Reply
  9. idriss umenena sawa kabisa
    kun maduu wako kamili kila idara familia bora akili zisizolala, wana mpenda Mungu na hawapendi public stunt kabisa kwanini usiwe na mtu wa aina hiyo
    we umekufa umeoza kwa wema
    me huyo wema atanipewe na pesa juu sitakii
    Reply

Emoticon
 

Comments

Popular posts from this blog

IT Essentials (ITE v6.0) Chapter 4 Exam Answers 100% 2016

IT Essentials (ITE v6.0) Chapter 3 Exam Answers 100% 2016

IT Essentials (ITE v6.0) Chapter 2 Exam Answers 100% 2016