Ney wa Mitego Baada ya Kilichotokea Kwa Wema Sepetu Nadhani Watu Wataniamini Kuhusu Suala la Ommy Dimpozi


Feb 17, 2016

Rapa mwenye staili ya tofauti kabisa ya kuflow na uandishi,huku mara kadhaa akiflow kama ana meno 40 au mara nyingine akiflow kama anapiga mswaki rapa kutoka Manzese ameibuka na kudai mara zote yeye uandika vitu baada ya kufanya uchunguzi wa hali ya juu. Katika interview tulioyofanya naye alisema vitu alivysema katika wimbo wake vyote ni vya ukweli na ni muda pekee ndo utakaosema.

Ameadai baada ya Wema kuja na drama mpya na jamaa yake , sasa ni zamu ya mtu mwenye dimpoz nyingi duniani kuprove kama kweli jogoo lake linawika au ndo linakula tu mahindi na mchele .
Pia alisema anaandaa ngoma nyingine ambayo muda huu atakuwa anawachana wabunge na mawaziri pekee ambako mpaka jana jioni alikuwa amemaliza kuandika verse ya Nape.

6 comments:

  1. hahahahahahahahahaha.......wape makavu live hao wazee wa mikurupuko
    Reply
  2. Kabla hujawaimba mawaziri, imba mambo yako kwanza, mbona unayo mengi tu, weweza toa verse hata 20!!
    Na hiyo misifa yako, ipo siku yako utajuta!
    Reply
  3. Watch out young man upo sahihi kama mwanamuziki kuielimisha jamii kupitia mziki wako na pia ni haki yako kuikosoa/kuwakosoa mtu/watu kiongozi/viongozi kama wanakosea ili wakae kwenye mstari unaokubalika na jamii lakini jinsi nijuavyo mimi ni kuwa viongozi wetu hawapendi kabisa kukosolewa na matokeo yake watakuja kukupoteza kama utakumbuka maybe ulikuwa bado mdogo wakati huo za enzi ya Dr.Remmy Ongala(RIP)Aliwahi kuimbia wimbo ulioitwa"SAMAKI"Ilibakia kidogo tu anyang'nywe vibali vya kuishi nchini TZ so kuwa makini sana dogo kuhusu hilo Fella Ransom Kuti(Nigerian also RIP)Aliishawahi kuishi nchi Ghana kama mkimbizi katika miaka ya 1970's baada ya kuikosoa Serikali ya Nigeria kupitia nyimbo zake good lucky young man
    Reply
  4. Hahahahaaa naisubiri hiyo ya Nape. Yawema tumejionea tayari
    Reply
  5. Ngoma ikilia sana upasuka,uliona kibanzi katika jicho la jirani yako toa boriti kwanza kwenye jicho lako,wenye mamlaka wana nguvu ya kubwa ya kukupoteza na kumbuka msemo wa wahenga,mdomo uliponza kichwa!
    Michael Jackson alimwita boss wa Sony records "shetani", mwisho wale wale wakamkodia doctor aliyemuua kwa nusu kaputi"
    Una uwezo wa kujilinda zaidi ya marehemu Michael Jackson au unataka nini?kuwa mwanasiasa ili kujua mbinu za siasa .
    Reply


Comments

Popular posts from this blog

Idriss Sultan Una Uhakika Gani Kama Mimba ya Wema Sepetu ni Yako?

Nitajuaje ama Mke au Mume Wangu Anatoka Nje ya Ndoa? Mambo Gani Yanaweza Yakaonyesha?

Hizi Hapa Faida za Kunywa Maziwa Mgando/Mtindi Katika Mwili wa Binadamu