Pichaz 12 Msiba wa John Woka, kuanzia eneo alilopatia ajali hadi nyumbani….

Febr 14 2016 Taarifa zilizoenea kuanzia mitandaoni hadi mitaani ilikuwa ni ishu ya  John Woka kupata ajali ya kulipukiwa na gesi,  Leo asubuhi ya Feb 16 2016, mambo yakawa ni msiba wa Woka ambaye alitamba na mdundo kama ‘Mganga’ pamoja na ile ya ‘Hii kitu’ kilichokuwa kikiwabamba wengi ni style yake ya kuimba kama mlevi ndio ilikuwa moja ya burudani kubwa.
Nikaamua kufunga safari na kuanza kujionea eneo la Sinza, Dar es salaam alilopata ajali na kisha hadi nyumbani kwao Ilala Bungoni kwenye msibani.
AW1A1788
Hili ndio eneo alilopatia ajali John Woka wakati akitengeneza gari
AW1A1789
.
AW1A1814
.
AW1A1853
.
AW1A1861
.
AW1A1872
.
AW1A1882
.
AW1A1890
.
AW1A1897
.
vlcsnap-2016-02-16-19h42m33s691
Mmoja wa mafundi waliokuwa na marehemu siku ya ajali
MZEE
Baba mzazi wa john woka

Recommended for you

You must be logged in to post a comment Login



Comments

Popular posts from this blog

Idriss Sultan Una Uhakika Gani Kama Mimba ya Wema Sepetu ni Yako?

Nitajuaje ama Mke au Mume Wangu Anatoka Nje ya Ndoa? Mambo Gani Yanaweza Yakaonyesha?

Hizi Hapa Faida za Kunywa Maziwa Mgando/Mtindi Katika Mwili wa Binadamu