Pichaz 19 za Waziri Mkuu alivyozungumza na viongozi wa vyama vya michezo na kukagua uwanja wa Taifa.
February 17 waziri mkuu wa Tanzania wa Serikali ya awamu ya tano Mh Kassim Majaliwa aliamua kukutana na viongozi na wadau mbalimbali wa michezo Tanzania, katika ukumbi wa mikutano uliopo ndani ya Uwanja wa Taifa Dar Es Salaam. Waziri Mkuu wa Tanzania ambaye pia ni kocha mwenye leseni daraja la B kutoka shirikisho la soka barani Afrika (CAF) amekutana na kuzungumza na viongozi wa michezo Tanzania, pamoja na kukagua uwanja wa Taifa.
Rais mstaafu wa TFF na mjumbe wa CAF Leodger Tenga akifuatilia kwa makini mkutano
Mwenyekiti wa zamani wa Baraza la michezo Tanzania Kanali Iddi Kipingu
Kushoto Rais wa TFF Jamal Malinzi akiwa na Katibu mkuu wake Selestine Mwesigwa
Kushoto ni Filbert Bayi akijadili jambo na mdau wa michezo
Kulia ni mkurugenzi wa zamani wa michezo wa TFF Sunday Kayuni na katibu mkuu wa TFF Selesine Mwesigwa wakijadili jambo
Msafara wa waziri mkuu ukiwasili Taifa
Waziri wa michezo, vijana, sanaa na burudani Nape Nnauye akimkaribisha waziri mkuu Majaliwa
Waziri
mkuu wa na katibu mkuu wa wizara ya habari, vijana, utamaduni wasanii
na michezo akionesha ramani ya muwekezaji, baada ya kuona ramani ya
Taifa
Rais wa TFF Jamal Malinzi
Mwanariadha wa zamani na kiongozi wa riadha Tanzania Filbert Bayi akiwasilisha maombi yake mbele ya waziri mkuu.
You must be logged in to post a comment
Login
Comments
Post a Comment