Wema Sepetu Alitamani Ajifungua Mtoto wa Kiume


Usiku wa kuamkia leo, Idris Sultan ameandika waraka mrefu kuhusiana na ujauzito wa mpenzi wake, Wema Sepetu ambao kwa post ile amemaanisha haupo tena (umetoka), lakini siku chache zilizopita wakati akiwa na mimba alitamani sana ajifungue mtoto wa kiume kwa kuwa kwenye familia yao wamezaliwa wote wanawake.

”Yaani huwezi amini kabla sijashika mimba nilikuwa na majina mengi sana ya watoto, lakini sasa hivi ninayo nimejikuta majina yote yamepotea labda mtoto wangu akifikisha miezi saba nitaanza kugoogle nipate jina lenye maana nzuri kwa mtoto wangu wa kiume, “Wema Sepetu.

” Unajua sisi katika familia yetu upande wa mama tumezaliwa watoto wote wa kike, mama yangu amekuwa akitamani sana mtoto wa kiume, kwahiyo nikipata mtoto wa kiume nitafurahi zaidi, “Wema.

Cloudsfm.com

1 comment:

  1. Hahaha. There she goes agaan....Na mimba yake feki. Believing in her lies...so pathetic and disguisting...wema do Tz a favour....get lost. ..sick and tired of you.mfyuuuu
    Reply


Comments

Popular posts from this blog

IT Essentials (ITE v6.0) Chapter 4 Exam Answers 100% 2016

IT Essentials (ITE v6.0) Chapter 3 Exam Answers 100% 2016

IT Essentials (ITE v6.0) Chapter 2 Exam Answers 100% 2016