Kutokana na Rekodi za Youtube na Instagram..Diamond Anaweza Kuwa Ndio Msanii Mkubwa Zaidi Africa..



Ile collabo kati ya diamond na A.k.a the super mega make me sing imefikisha viewers millioni moja na ushe youtube ndani ya siku kumi toka ilizinduliwa na kuweka rekodi mpya huku ikiziacha mbali nyingine zilizoachiwa kabla yake
Rekodi nyingine hii ndo imekuwa nyimbo ya kwanza kwa a.k.a kufikisha millioni moja viwers youtube ndani ya cku chache na kufanya kuchekwa na mashabiki wa casper nyovest pale alipopost ndani ya I.g kuonyesha fura
Ingawa wabongo tunamuona huyu msanii ndo mkuubwa na kambeba Diamond...
hatujithamini ....
Diamond anaweza kuwa msanii mkubwa zaidi Africa kwa sasa
rekodi zake za you tube na instagram sioni mwanamuziki yeyote wa Africa akimkaribia

Comments

Popular posts from this blog

IT Essentials (ITE v6.0) Chapter 4 Exam Answers 100% 2016

IT Essentials (ITE v6.0) Chapter 3 Exam Answers 100% 2016

IT Essentials (ITE v6.0) Chapter 2 Exam Answers 100% 2016