Mapya yaibuka juu ya NEY WA MITEGO adaiwa kujichubua na kuchonga nyusi



Hali imezidi kuwa mbaya baada ya Masnii maarufu Ney wa Mitego kutoa nyimbo yake Mpya ya "SHIKA ADABU YAKO" Ambayo imepelekea nyimbo hiyo kuzua maneno ya kila aina juu ya mashahiri yake yalio wagusa baadhi ya wasanii hapa nchini..


Hata hivyo hali sio nzuri kwenye mitandao ya kijamii baada ya mashabiki wakila pande kutukanana na kutoleana maneno machafu.


Baadhi ya mashabiki wa Team zilizo chambwa katika wimbo huo wamekuja na madai haya mapya juu ya Ney wa Mitego..

No comments:

Post a Comment




Comments

Popular posts from this blog

Idriss Sultan Una Uhakika Gani Kama Mimba ya Wema Sepetu ni Yako?

Nitajuaje ama Mke au Mume Wangu Anatoka Nje ya Ndoa? Mambo Gani Yanaweza Yakaonyesha?

Hizi Hapa Faida za Kunywa Maziwa Mgando/Mtindi Katika Mwili wa Binadamu