Hii Ndio Sababu Kwanini Mwanamuziki Jux Hapendi Kumuongelea Mpenzi Wake wa Zamani Jack Cliff Aliyoko Jela China



Msanii mahiri wa miondoko ya R&B amekuwa hapendi kuzungumzia suala la mpenzi wake wa zamani Jack Patrick ambaye anatumikia kifungo akiwa jela huko Macau, Hong Kong nchini China kwa tuhuma za kugundulika na madawa ya kulevya katika mwili wake.

Jux amekuwa akiulizwa mara kadhaa na waandishi wa habari kuhusu suala hilo lakini amekuwa hataki kulizungumzia suala hilo lakini kupitia kipindi cha XXL kinachorushwa na Clouds Fm Radio amefungukia suala hilo na kusema kuwa hapendi kulizungumzia suala hilo ili asije akaonekana anapatia umaarufu au kiki kupitia yaliyo msibu mpenzi wake.


Jux ameongeza kuwa siyo vizuri kulizungumzia suala hilo kwani atandugu zake Jack hawapendi, hivyo anapenda kuulizwa zaidi kuhusu kazi zake anazo zifanya, huku akisisitiza kuwa kwa sasa ana mpenzi ambaye anampenda kwa dhati na ikitokea x-wake akaachiwa itabidi akubaliane na atakayo yakuta.

No comments:

Post a Comment




Comments

Popular posts from this blog

Idriss Sultan Una Uhakika Gani Kama Mimba ya Wema Sepetu ni Yako?

Nitajuaje ama Mke au Mume Wangu Anatoka Nje ya Ndoa? Mambo Gani Yanaweza Yakaonyesha?

Hizi Hapa Faida za Kunywa Maziwa Mgando/Mtindi Katika Mwili wa Binadamu