Wasanii walipoalikwa Ikulu kwa mara ya kwanza na Rais Magufuli..


February 18 2016 inaingia kwenye headline kwa Wasanii wa Tanzania kualikwa na kula chakula cha mchana pamoja na Rais John Pombe Magufuli tangu ateuliwe,Rais Magufuli amekutana na wasanii hawa kama miongoni mwa makundi yaliyoshiriki kwenye kampeni.
13
Wasanii wa Bongo fleva wakifurahia jambo.
Makundi yaliyofanikiwa kushiriki kwenye Hafla hii ni Wasanii wa Bongo Fleva,Bongo Movie,Muziki wa Dansi na muziki wa Taarabu.
12
P funk,Makomandoo,Mwana Fa,Idris Sultan na wasanii wengine wa filamu.
1
4
3
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiongea jambo na Makundi ya wasanii waliofika Ikulu.
2
5
Makamo wa Rais Mama Samia Suluhu akizungumza na Makundi ya wasanii waliofika Ikulu.
6
11
8
Peter Msechu,Msami na Ditto kwenye chakula cha mchana.
7
9
10
Picha kutoka Blog ya Ikulu.

Comments

Popular posts from this blog

IT Essentials (ITE v6.0) Chapter 4 Exam Answers 100% 2016

IT Essentials (ITE v6.0) Chapter 3 Exam Answers 100% 2016

IT Essentials (ITE v6.0) Chapter 2 Exam Answers 100% 2016