Lulu Michael Azushiwa Kifo....Asema "Kufa, Nitakufa SIKATAI Lakini Mpaka Nimalize Miaka Niliyoandaliwa"


Kwenye ukurasa wake wa instagram Lulu ameandika maneno hayo huku akionyeshwa kuchukizwa na kitendo hicho cha kuzushiwa kifo, na kujisifia kuwa ana jina maarufu.

"Nasikia Nimekufa, wewe uliye Post hii Kama wewe utakuwepo tutaonana tena 2017 Inshaallah, halafu jifunze na kuandika Elizabeth vizuri kwanza (Niki report live kutoka heaven), this shows how jina langu lina KiKi, nishasema mniache jamani, kufa ntakufa sikatai lakini mpaka nimalize miaka iliyoandikwa kwenye biblia", aliandika Lulu.

Maneno hayo ya Lulu yameibua hisia za watu na kumjia juu mtu aliyepost taarifa hiyo kwenye mitandao, huku wakimtaka Lulu kutopigizana nao kelele kwani yeye ni kioo cha jamii hivyo ni kawaida kwa kuzushiwa taarifa za uongo.



Post a Comment


Emoticon

Comments

Popular posts from this blog

IT Essentials (ITE v6.0) Chapter 4 Exam Answers 100% 2016

IT Essentials (ITE v6.0) Chapter 3 Exam Answers 100% 2016

IT Essentials (ITE v6.0) Chapter 2 Exam Answers 100% 2016